MBEYA HATARI,WANANCHI WAZUIWA KUMPIGA NYOKA MAPOROMOKO YA UDONGO KATA YA ITEZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2024

Комментарии • 9

  • @kennethngelesi2669
    @kennethngelesi2669 3 месяца назад

    Asante km kwa taarifa

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 месяца назад

    Badala yakuwapa pole undoka unajua yakwako kesho yk

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад

    Jamani wazee wa Mila muwe mnatuelekeza wengine ni wageni huwa hatuelewi vitu Kama hivyo ewe Mwenyezi Mungu tunaomba utunusuru na hizi nyakati

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 3 месяца назад

    Kwa hali hiyo hata ingepandwa miti ingeanguka tu, ni kumwomba Mungu aturehemu

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 3 месяца назад

    Uongo tu

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 месяца назад

    Mzee kiongozi wa jadi sasa unapptosha kuhusisha ushirikina

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 3 месяца назад

    Mi ningemuuwa wa nn sasa wakati yamexhatokea

  • @furahamwatwinza9560
    @furahamwatwinza9560 3 месяца назад

    Kumbe kulikuwa na ibada za mizimu huko?

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 3 месяца назад +1

    Kuto kuheshimu mila na desturi zetu tumeliua taifa letu kizazi kinaishia hivyo.